Polisi mkoani Geita wanamshikiliwa kijana Samson Petro (18) mkazi wa katoro wilayani Geita mkoani Geita kwa tuhuma za kuteka watoto katika mikoa ya Arusha na Geita.
Kijana huyo amekamatwa usiku wa September 2, saa mbili usiku katika nyumba ya kulala wageni ya shilungulu iliyopo mji mdogo wa katoro.
Kamanda wa polisi mkoani Geita, Mponjali Mwabulambo amethibitisha kukamatwa kwa kijana huyo na kusema polisi wanaendelea na uchunguzi na utakapokamilika atafikishwa mahakamani.
Sunday, 3 September 2017
Home
Unlabelled
Mtekaji wa watoto Arusha, akamatwa mkoani Geita
Mtekaji wa watoto Arusha, akamatwa mkoani Geita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

Kazi nzuri
ReplyDelete