Polisi mkoani Geita wanamshikiliwa kijana Samson Petro (18) mkazi wa katoro wilayani Geita mkoani Geita kwa tuhuma za kuteka watoto katika mikoa ya Arusha na Geita.
Kijana huyo amekamatwa usiku wa September 2, saa mbili usiku katika nyumba ya kulala wageni ya shilungulu iliyopo mji mdogo wa katoro.
Kamanda wa polisi mkoani Geita, Mponjali Mwabulambo amethibitisha kukamatwa kwa kijana huyo na kusema polisi wanaendelea na uchunguzi na utakapokamilika atafikishwa mahakamani.
Sunday 3 September 2017
Home
Unlabelled
Mtekaji wa watoto Arusha, akamatwa mkoani Geita
Mtekaji wa watoto Arusha, akamatwa mkoani Geita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
Kazi nzuri
ReplyDelete