Edward Lowassa amesema anaamini uchaguzi wa Kenya ulikuwa huru na haki, hata waangalizi wa uchaguzi kutoka wawakilishi 5, John Kerry, EAC, SADCNA na wengine walisema uchaguzi huo ulikuwa huru na haki, pia kwenye uchaguzi wa maseneta, magavana na wabunge Jubilee wameongoza lakini uamuzi wa mahakama kuu lazima uheshimiwe
Akitoa sababu ya kumuunga mkono Uhuru alisema anamuunga mkono kwa jinsi anavyokubali ushirikiano wa kimataifa na demokrasia, katika uongozi wake demokrasia inalindwa sana
Pia uongozi wake ni uongozi wenye malengo na ameweza kuiletea Kenya maendeleo makubwa licha ya kutoka kwenye vita,na kama Uhuru akimualika Kenya ataenda kumsaidia tena.
Friday, 1 September 2017
Home
Unlabelled
Lowasa: Uchaguzi wa Kenya ulikuwa huru na haki, jubilee waliongoza kwenye magavana na maseneta.
Lowasa: Uchaguzi wa Kenya ulikuwa huru na haki, jubilee waliongoza kwenye magavana na maseneta.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
Umeelewka Mzee wa amani
ReplyDelete