Edward Lowassa amesema anaamini uchaguzi wa Kenya ulikuwa huru na haki, hata waangalizi wa uchaguzi kutoka wawakilishi 5, John Kerry, EAC, SADCNA na wengine walisema uchaguzi huo ulikuwa huru na haki, pia kwenye uchaguzi wa maseneta, magavana na wabunge Jubilee wameongoza lakini uamuzi wa mahakama kuu lazima uheshimiwe
Akitoa sababu ya kumuunga mkono Uhuru alisema anamuunga mkono kwa jinsi anavyokubali ushirikiano wa kimataifa na demokrasia, katika uongozi wake demokrasia inalindwa sana
Pia uongozi wake ni uongozi wenye malengo na ameweza kuiletea Kenya maendeleo makubwa licha ya kutoka kwenye vita,na kama Uhuru akimualika Kenya ataenda kumsaidia tena.
Friday, 1 September 2017
Home
Unlabelled
Lowasa: Uchaguzi wa Kenya ulikuwa huru na haki, jubilee waliongoza kwenye magavana na maseneta.
Lowasa: Uchaguzi wa Kenya ulikuwa huru na haki, jubilee waliongoza kwenye magavana na maseneta.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

Umeelewka Mzee wa amani
ReplyDelete