Klabu ya Simba imefunguka na kuweka sawa kuwa straika wao mpya raia wa Ghana, Nicholas Gyan ametua nchini Tanzania na kujiunga rasmi na klabu hiyo ambayo kwa sasa ndiyo klabu inayoongoza katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara 2017/2018.
Nicholas Gyan ni kati ya wachezaji ambao walikipiga siku ya Simba Day Agosti 8, 2017 ambapo Simba SC ilicheza game ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports kutoka Rwanda katika uwanja wa Taifa Dar es salaam ambapo Simba iliibuka na ushindi wa bao 1-0.
"Baada ya kusajiliwa na kucheza kwenye siku ya Simba Day kisha kurudi Ghana kumalizia utaratibu, Nicholas Gyan amewasili rasmi kuitumikia Simba Sc. Ikumbukwe kuwa Nicholas alikuwa mfungaji bora wa ligi ya Ghana. Karibu sana Nicholas Simba Sc" ilisema taarifa ya Simba
Saturday, 2 September 2017
Home
Unlabelled
Klabu ya Simba yanena juu ya Nicholas Gyan.
Klabu ya Simba yanena juu ya Nicholas Gyan.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
No comments:
Post a Comment