Jeshi la polisi nchini limesema kuwa limefanikiwa kudhibiti uhalifu ulioukuwa unafanyika wilayani ya Kibiti mkoani Pwani na kuwakamata wahalifu wenyewe hatua ambayo imewezesha kurudisha hali ya usalama katika maeneo hayo.
Akiwa ziarani mkoani Arusha Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, amesema oparesheni hiyo imefanikiwa kuwakamata wengi wa waliokuwa wakifanya uhalifu ama kujihusisha nao na kutoa angalizo kwa viongozi ngazi za vijiji na kata katika maeneo yote nchini kuhakikisha wanakuwa makini kwani baadhi yao wamekimbilia katika maeneo mengine.
Aidha Kamshna Sirro ameeleza kuwa sehemu ya mazungumzo yake na askari polisi mkoa wa Arusha na kusema kuwa Jeshi la Polisi linaendelea kufanyia kazi malalamiko ya wananchi ikiwemo uvujaji wa siri za watoa taarifa na kuahidi kulivalia njuga suala hilo.
IGP Simon Sirro yupo katika ziara yake ya kikazi kutembelea na kuzungumza na askari polisi katika mkoa mbalimbali nchini.
Saturday, 26 August 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
No comments:
Post a Comment