Mbunge wa jimbo la Kaliua mkoani Tabora Magdalena Sakaya amesema mgogoro wa chama cha CUF sasa hivi umeisha na akaunti za chama zilizokuwa zimefungwa sasa zimefunguliwa na wanapokea ruzuku tangia wiki iliyopita na kuwaasa wananchama wa chama hicho kukiimarisha chama kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019
Amesema sasa wamezindua kampeni ya 10 kwa 10 ambayo kila mwanachama wa CUF atatakiwa kuvuta wanachama wengine 10 wapya na hao wapya watatakiwa kuvuta wanachama wengine 10 ili wafanye vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 na kuchukua nchi mwaka 2020
Pia amemshukuru jaji wa wa kesi ya kupinga kuapishwa kwa wabunge wapya wa viti maalumu kwa kuzingatia katiba yetu ya chi inayotaka mihimili mitatu ya nchi yetu kutoingiliana na kuruhusu wabunge wao wateule waapishwe
Saturday, 26 August 2017
Home
Unlabelled
Magdalena Sakaya: Mgogoro wa Cuf umekwisha atoa maagizo kwa viongozi wote kujielekeza katika kujenga chama
Magdalena Sakaya: Mgogoro wa Cuf umekwisha atoa maagizo kwa viongozi wote kujielekeza katika kujenga chama
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
No comments:
Post a Comment