Mbunge wa jimbo la Kaliua mkoani Tabora Magdalena Sakaya amesema mgogoro wa chama cha CUF sasa hivi umeisha na akaunti za chama zilizokuwa zimefungwa sasa zimefunguliwa na wanapokea ruzuku tangia wiki iliyopita na kuwaasa wananchama wa chama hicho kukiimarisha chama kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019
Amesema sasa wamezindua kampeni ya 10 kwa 10 ambayo kila mwanachama wa CUF atatakiwa kuvuta wanachama wengine 10 wapya na hao wapya watatakiwa kuvuta wanachama wengine 10 ili wafanye vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 na kuchukua nchi mwaka 2020
Pia amemshukuru jaji wa wa kesi ya kupinga kuapishwa kwa wabunge wapya wa viti maalumu kwa kuzingatia katiba yetu ya chi inayotaka mihimili mitatu ya nchi yetu kutoingiliana na kuruhusu wabunge wao wateule waapishwe
Saturday 26 August 2017
Home
Unlabelled
Magdalena Sakaya: Mgogoro wa Cuf umekwisha atoa maagizo kwa viongozi wote kujielekeza katika kujenga chama
Magdalena Sakaya: Mgogoro wa Cuf umekwisha atoa maagizo kwa viongozi wote kujielekeza katika kujenga chama
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment