Rais Dkt Magufuli amekasirishwa na wasomi wetu waliosaini mikataba ya kimataifa inayolinyonya Taifa - KULUNZI FIKRA

Saturday 26 August 2017

Rais Dkt Magufuli amekasirishwa na wasomi wetu waliosaini mikataba ya kimataifa inayolinyonya Taifa

 
 Rais Dr Magufuli amekasirishwa sana na wasomi wetu ambao wamesaini mikataba kati ya Serikali na wawekezaji tofauti huku wakijua kuwa mikataba hiyo italitafuna na kulinyonya Taifa kutokana na vipengele vilivyowekwa ndani ya hiyo mikataba.

Rais ameongea hayo alipokuwa anaongea na vijana ndani ya Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Mwl Nyerere Kigamboni na kutokubali hayo yatokee ndani ya utawala wake.

Rais Dr Magufuli alitoa mfano wa mkataba wa nguvu za Umeme kuhusu malipo ya capacity charges ambayo yanalipwa kiunyonyaji toka kwa watumiaji Umeme kwenda kwa mwekezaji.

No comments:

Post a Comment

Popular