Rais Dr Magufuli amekasirishwa sana na wasomi wetu ambao wamesaini mikataba kati ya Serikali na wawekezaji tofauti huku wakijua kuwa mikataba hiyo italitafuna na kulinyonya Taifa kutokana na vipengele vilivyowekwa ndani ya hiyo mikataba.
Rais ameongea hayo alipokuwa anaongea na vijana ndani ya Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Mwl Nyerere Kigamboni na kutokubali hayo yatokee ndani ya utawala wake.
Rais Dr Magufuli alitoa mfano wa mkataba wa nguvu za Umeme kuhusu malipo ya capacity charges ambayo yanalipwa kiunyonyaji toka kwa watumiaji Umeme kwenda kwa mwekezaji.
Saturday 26 August 2017
Home
Unlabelled
Rais Dkt Magufuli amekasirishwa na wasomi wetu waliosaini mikataba ya kimataifa inayolinyonya Taifa
Rais Dkt Magufuli amekasirishwa na wasomi wetu waliosaini mikataba ya kimataifa inayolinyonya Taifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment