Kaimu kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam, Lucas Mkondya amethibitisha kushambuliwa ofisi za wanasheria za IMMMA Advocates saa nane usiku wa kuamkia leo jumamosi , Agosti 26
Makondya amesema polisi wanafanya uchunguzi kujua ni mini kilihusika katika tukio hilo la mlipuko.
"Tupo hapa eneo la tukio,uchunguzi unaendelea na ukikamilika tutawapa taarifa zaidi, ila hatujajua kama Bomu limeusika", amesema Makondya .
Ameelezea hadi sasa hakuna watu wanaoshikiliwa kuhusika na tukio hilo.
Mmoja wa viongozi wa kampuni ya IMMMA Advocates, Sadock Magai amesema hakuna wizi ambao umefanyika katika mali zilizokuwa ndani.
"Tuwaachie jeshi la polisi wafanye kazi yao" amesema Magai.
Ofisi za wanasheria wa kampuni hiyo zipo barabara ya umoja wa mataifa eneo la upanga jijini Dar es salaam.
Miongoni mwa wamiliki wa kampuni hiyo Fatuma Karume ambaye ni mtoto wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Amani Abeid Karume.
Saturday, 26 August 2017
Home
Unlabelled
Polisi yachunguza mlipuko ofisi za wanasheria
Polisi yachunguza mlipuko ofisi za wanasheria
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
No comments:
Post a Comment