Kaimu kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam, Lucas Mkondya amethibitisha kushambuliwa ofisi za wanasheria za IMMMA Advocates saa nane usiku wa kuamkia leo jumamosi , Agosti 26
Makondya amesema polisi wanafanya uchunguzi kujua ni mini kilihusika katika tukio hilo la mlipuko.
"Tupo hapa eneo la tukio,uchunguzi unaendelea na ukikamilika tutawapa taarifa zaidi, ila hatujajua kama Bomu limeusika", amesema Makondya .
Ameelezea hadi sasa hakuna watu wanaoshikiliwa kuhusika na tukio hilo.
Mmoja wa viongozi wa kampuni ya IMMMA Advocates, Sadock Magai amesema hakuna wizi ambao umefanyika katika mali zilizokuwa ndani.
"Tuwaachie jeshi la polisi wafanye kazi yao" amesema Magai.
Ofisi za wanasheria wa kampuni hiyo zipo barabara ya umoja wa mataifa eneo la upanga jijini Dar es salaam.
Miongoni mwa wamiliki wa kampuni hiyo Fatuma Karume ambaye ni mtoto wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Amani Abeid Karume.
Saturday 26 August 2017
Home
Unlabelled
Polisi yachunguza mlipuko ofisi za wanasheria
Polisi yachunguza mlipuko ofisi za wanasheria
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment