Ofisi za IMMMA Advocates za wanasheria Fatuma Karume na Lawrence Masha zimewaka moto alfajiri ya leo.
"Tumepata janga kubwa la moto, ofisi yetu imepigwa Bomu na watu wasio julikana, uharibifu mkubwa umetokea, polisi wengi wapo wakiendelea na uchunguzi, nimefika hapa toka saa 9, mtuombee" amesema Fatuma Karume.
No comments:
Post a Comment