Matokeo ya awali ya uchaguzi Jimbo la Kinondoni. - KULUNZI FIKRA

Saturday 17 February 2018

Matokeo ya awali ya uchaguzi Jimbo la Kinondoni.

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa ubunge Jimbo la Kinondoni yaliyobandikwa nje ya vituo vya kupigia kura yanaonyesha mgombea wa CCM, Maulid Mtulia anazidi kuongoza katika baadhi ya vituo.

Katika matokeo hayo, Mtulia anafuatiwa na mgombea wa Chadema, Salum Mwalimu huku wa CUF, Salum Rajab Juma akishika nafasi ya tatu lakini kwa tofauti kubwa ya kura.

Baadhi ya matokeo hayo ni kama ifuatavyo; 

Kituo cha Mbuyuni 3 Kata ya Tandale
Mtulia amepata kura  53
Juma 3 na Mwalimu 18


Kituo cha Mashuka 2 Kata ya Tandale, 

Mwalimu amepata kura 16
Juma 7
Mtulia 53.


Kituo cha Mashuka 1 Kata ya Tandale 

Mtulia amepata kura 59
Mwalimu 14 
Juma 3.


Kituo cha Ofisi ya Mpakani -7 Kata ya Ndugumbi

Mtulia amepata kura 33
Mwalimu 20, Juma 6 
Mgombea wa Tadea 1


Kituo cha Mpakani -3 Kata ya Ndugumbi

Mtulia amepata kura 49
Mwalimu 14, Juma 16 
Mgombea wa Tadea 1


Kituo cha Serikali ya Mtaa Bwawani 4 Kata ya Kijitomyama 

Mtulia amepata kura 237
Mwalimu 21
Juma 1.


Kituo cha Bwawani 01 Kata ya Kijitonyama, 

Mwalimu amepata kura 23
Mtulia 100.


Kituo cha Bwawani 2 Kata ya Kijitonyama

Mtulia amepata kura 37
Mwalimu 24 
Juma 1


Kituo cha Weo 1 Kata ya Makumbusho

Mtulia amepata kura 35
Mwalimu 20
Juma 3


Kata ya Sokoni Makumbusho A-1 Kata ya Kijitonyama

Mtulia amepata kura 30
Mwalimu 12
Ashiri Saidi 1.


Kituo cha Shule ya Msingi Mwananyamala Kisiwani B Kata ya Makumbusho, 

Mwalimu amepata kura 13,
Mtulia kura 39 
Mgombea wa UMD 1.


Kituo cha Shule ya Msingi Mwananyamala Kisiwani C 1 Kata ya Makumbusho

Mtulia amepata kura 41
Mwalimu 15
Juma 9


Kituo cha Shule ya Msingi Mwananyamala C 2 Kata ya Makumbusho

Mtulia amepata kura 42
Mwalimu kura 21
Juma 15


Kituo cha Kijitonyama 2  Kata ya Kijitonyama

Mwalimu amepata kura 20
Mtulia 29 na Juma 1


Kituo cha Shule ya Msingi Kijitonyama B2 Kata ya Kijitonyama

Mtulia amepata kura 78
Mwalimu kura 24
Ally Abdallah wa Tadea 1


Kituo cha Shule ya Msingi Kijitonyama A-2 Kata ya Kijitonyama

Mwalimu amepata kura 24
Mtulia 68
Ally Abdallah wa Tadea 1


Kituo cha Shule ya Msingi Kisiwani D 2 Kata ya Makumbusho

Mtulia amepata kura 37
Mwalimu 21
Mgombea wa NRA 1


Kituo cha Shule ya Msingi Minazini C 1 Kata ya Makumbusho

Mtulia amepata kura 46
Mwalimu 20
Juma 12


Kituo cha Ofisi ya Serikali ya Mtaa Kijitonyama 2 Kata ya Kijitonyama

Mtulia amepata kura 25
Mwalimu kura 36


Kituo cha Ofisi ya Weo-3 Kata ya Kijitonyama

Mtulia amepata 22
Mwalimu 20


Kituo cha Mwenge Zahanati Kata ya Kijitonyama

Mtulia amepata 19
Mwalimu 12.


Kata ya Mwenge Zahanati 2 Kata ya Kijitonyama

Mtulia amepata kura 56
Mwalimu 13


Matokeo zaidi yataendelea kukujia hapahapa

No comments:

Post a Comment

Popular