Mbunge wa Kigoma mjini na kiongozi mkuu wa chma ACT-wazalendo, Zitto kabwe amesema unahitajika uchunguzi wa kimataifa dhidi ya shambulio la Mbunge wa Singida mashariki, Tundu Lissu.
Akituma ujumbe kwenye akaunti yake ya Twitter, Zitto kabwe amesema kwamba vyombo vya ndani vinaweza visiaminike kiutokana na uzito wa tukio hilo.
Amesema kwamba " Washambuliaji wa Lissu wamelenga kutunyamazisha. Iwapo tutaendelea kunyamaza watashinda. Hatuwezi kuwapa nafasi hiyo tunaongea kuhusu haki", amesema Zitto kabwe.
Lissu alishambuliwa Alhamisi ya wiki hii wakati walipokuwa akifika nyumbani kwake mjini Dodoma akitokea katika vikao vya Bunge.
Saturday, 9 September 2017
Home
Unlabelled
Zitto kabwe: Kupigwa risasi kwa Lissu unahitajika uchunguzi wa kimataifa
Zitto kabwe: Kupigwa risasi kwa Lissu unahitajika uchunguzi wa kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment