Katika hali ya kusikitisha mtu mmoja aliye julikana kwa majina ya Benja Chaula mkazi wa Chamwino Morogoro amejinyonga hadi kufa akiwa ndani ya chumba chake kwa kutumia shuka ambapo chanzo cha kujiua hakikujulikana mara moja huku ndugu zake wakieleza marehemu alikuwa akilalamika kujisikia vibaya kabla ya umauti wake haujamfika.
Akizungumza kwa masikitiko shangazi wa marehemu Tedy Chaula amesema kwa sikumbili kabla ya umauti kumfika shangazi yake amekuwa akisumbuana na nduguzake kuwa anajisikia vibaya na ndipo baada ya hapo wakashangazwa na hatua aliyochukua.
Kwa upande wake diwani wa kata ya Chamwino Dismas Makangila amesema amestushwa na kupata tarifa za kifo hicho ambacho nichakusikitisha ambapo baada ya kufika katika tukio hilo ametoa tarifa polisi.
Jeshi la Polisi limefika katika tukio hilo nakuchukua mwili wa marehemu kwa mujibu wa sheria huku taratibu za kiuchunguzi kuhusiana na kifo hicho zikiendele.
Saturday, 9 September 2017
Home
Unlabelled
Mkazi wa Chamwino mkoani Morogoro ajinyonga kwa shuka chumbani kwake
Mkazi wa Chamwino mkoani Morogoro ajinyonga kwa shuka chumbani kwake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment