Uongozi wa klabu ya Simba SC umewatoa hofu mashabiki wake kwa kutaja wachezaji wenye majeruhi kuelekea kwenye mchezo wao dhidi ya klabu ya Azam FC.
Hadi sasa klabu ya Simba SC ina wachezaji wawili wenye majeruhi ambao hawapo kwenye hesabu za kocha Joseph Omog.
Mratibu wa timu Abbas Ally amesema ,Zaidi Mohamed ' Nduda' na Shomari Kapombe ndio wachezaji pekee ambao hawapo kwenye mipango ya kocha Joseph Omog, kuelekea mchezo wao dhidi ya Azam FC jumamosi hii.
"Majeruhi tulionao ni walewale tu ambao kimsingi hawapo kakika program ya yetu, Said Mohammed 'Nduda' anaenda nje ya nchi kwaajili ya matibabu lakini Shomari Kapombe ambaye alipata majeraha katika timu ya Taifa bado ajaanza mazoezi chini ya uangalizi wa daktari" alisema Abbas Ally.
"Kikosi kipo kambini na kila kitu kinaendelea vizuri kama tulivyopanga, tunaendelea na mazoezi kwa kufuata program ya kocha", Alisema Abbas Ally.
Thursday, 7 September 2017
Home
Unlabelled
Uongozi wa klabu ya Simba sc wataja wachezaji ambao hawapo kwenye mipango ya kocha Omog.
Uongozi wa klabu ya Simba sc wataja wachezaji ambao hawapo kwenye mipango ya kocha Omog.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment