Beki wa Simba, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ amesema hawana presha yoyote kuelekea katika mchezo wao ujao dhidi ya Azam utakaofanyika Jumamosi hii.
Simba ilianza mchezo wake wa kwanza wa msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuifunga Ruvu Shooting mabao 7-0 huku Azam yenyewe ikipata ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya Ndanda.
“Tuko kwenye kiwango kizuri kwa sasa hivyo hatuna wasiwasi wa kupata matokeo ya ushindi,”alisema Tshabalala.
Mchezo huo utachezwa Jumamosi kwa mara ya kwanza kwenye uwanja wa Azam Complex.
Thursday, 7 September 2017
Home
Unlabelled
Tshabalala: Azam hawatupi presha kabisa.
Tshabalala: Azam hawatupi presha kabisa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment