Chama cha mapinduzi ( CCM) kimepokea kwa mshtuko kubwa wa taarifa za kuchambuliwa kwa Mbunge wa Singida mashariki Ndugu Tundu Lissu leo mchana.
Chama cha mapinduzi ( CCM) kinalaani tukio hilo la kikatili na lisilo na utu na tunalitaka jeshi la polisi kuwatafuta, kufanya uchunguzi wa tukio hilo na kuchukua hatua Kali za kisheria kwa wote waliohusika na kitendo hiki cha kidhalimu.
Uongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) unamwombea Ndugu Lissu kupona haraka na afya njema ili aendelee na majukumu yake.
Thursday, 7 September 2017
Home
Unlabelled
Chama cha Mapinduzi (CCM) yalaani Tundu Lissu kupigwa risasi
Chama cha Mapinduzi (CCM) yalaani Tundu Lissu kupigwa risasi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment