Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni Mh.Tundu Lissu amemuwakia Spika kuvunja kanuni za bunge katika uwasilishaji wa ripoti za kamati mbili za madini.
Tundu Lissu anasema Spika amepokea ripoti mbiombio kuipeleka kwa Rais kabla ya kujadiliwa na wabunge ili ipelekwe kwa serikali ikiwa na maazimio ya bunge
Lissu amesema kanuni za bunge ziko wazi na ripoti zote za kamati na tume za kibunge huwasilishwa kwanza bungeni kujadiliwa na wabunge na kupokea maoni yao. Ameshangaa kuona ripoti inakimbizwa kwa rais wakati uchunguzi ulitokana na azimio la bunge na sio rais
Kwa hiyo wabunge wangepata nafasi ya kuchambua ripoti ile na kutoa maoni yao kwa serikali ndipo Spika angetakiwa kuwasilisha kwa rais
Thursday, 7 September 2017
Home
Unlabelled
Ripoti za madini: Tundu Lissu amuwakia spika Ndugai
Ripoti za madini: Tundu Lissu amuwakia spika Ndugai
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment