Kamati ya Utendaji ya Simba pamoja na rais wao, Salim Abdallah 'Try Again' wamemuhakikishia kocha wao mkuu, Mcameroon Joseph Omog kuwa kibarua chake kipo pale pale na aachane na wazushi wanaozungumza pembeni kuwa amepewa mechi tano.
Hivi karibuni kumekuwa na minong'ono kuwa kikosi hicho kina mpango wa kumtimua Omog na amepewa mechi tano kwa sababu hawajaridhika na uutendaji wake wa kazi.
Msemaji wa klabu hiyo, Haji Manara alisema: "Kabla ya mechi na Mwadui, rais wa timu, Salim Abdallah 'Tray Again' alizungumza na Omog alimweleza,Kamati ya Utendaji pamoja na yeye, wanaimani naye, hivyo afanye kazi kwa uhuru, bila shindikizo lolote, uongozi uko nyuma yake na unamsapoti kwa kila hari,"
"Hakuna taarifa iliyotoka na uongozi wala kwa mimi Haji kuwa, Omog amepewa mechi tano za uangalizi, hajapewa, sijampa na hatutampa,"alisema Manara.
Manara amesema, anashangazwa na hilo, na kwamba watu wanaona kama ni desturi ya kubadilisha kocha kila wakati wakati Omog anafanya vizuri.
Monday, 18 September 2017
Home
Unlabelled
Omog ahakikishiwa ulaji Simba Sc
Omog ahakikishiwa ulaji Simba Sc
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment