Chama cha mawakili nchini Kenya ( LSK) kimemkosoa Rais Uhuru Kenyatta, baada ya kuwashambulia majaji wa mahakama ya juu kufuatia uamuzi wa kubatilisha matokeo uchaguzi nchini Kenya.
Rais wa LSK Isaac Okero alimkosoa Rais Kenyatta kwa kumtaja jaji mkuu, David Maraga na majaji wengine wa mahakama hiyo kuwa wamekosea.
Rais Kenyatta ametoa matamshi hayo wakati wa ziara ya kukutana na wasuasi wake katika soko la Burma mjini Nairoba,baada ya Mahakama hiyo ikiongozwa na jaji Maraga kufuta matokeo ya uchaguzi wa Rais.
Okero amesema matamshi ya kwamba majaji hao wasubiri Rais achaguliwe katika uchaguzi ujao hayafai kutoka kwa kiongozi wa taifa ambaye chini ya katiba ya Kenya ni nembo ya umoja wa wa Kenya.
Sunday, 3 September 2017
Home
Unlabelled
Majaji nchini Kenya wamjia juu Kenyatta
Majaji nchini Kenya wamjia juu Kenyatta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...

No comments:
Post a Comment