Chama cha mawakili nchini Kenya ( LSK) kimemkosoa Rais Uhuru Kenyatta, baada ya kuwashambulia majaji wa mahakama ya juu kufuatia uamuzi wa kubatilisha matokeo uchaguzi nchini Kenya.
Rais wa LSK Isaac Okero alimkosoa Rais Kenyatta kwa kumtaja jaji mkuu, David Maraga na majaji wengine wa mahakama hiyo kuwa wamekosea.
Rais Kenyatta ametoa matamshi hayo wakati wa ziara ya kukutana na wasuasi wake katika soko la Burma mjini Nairoba,baada ya Mahakama hiyo ikiongozwa na jaji Maraga kufuta matokeo ya uchaguzi wa Rais.
Okero amesema matamshi ya kwamba majaji hao wasubiri Rais achaguliwe katika uchaguzi ujao hayafai kutoka kwa kiongozi wa taifa ambaye chini ya katiba ya Kenya ni nembo ya umoja wa wa Kenya.
Sunday, 3 September 2017
Home
Unlabelled
Majaji nchini Kenya wamjia juu Kenyatta
Majaji nchini Kenya wamjia juu Kenyatta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
No comments:
Post a Comment