Pamoja na daktari kumuongezea wiki mbili zaidi za matibabu, huenda beki Shomari Kapombe atarajea mapema dimbani.
Kapombe ambaye anasumbuliwa na nyonga, aliongezewa wiki mbili za kupata matibabu.
Lakini taarifa kutoka Simba zinaeleza huenda beki huyo akarejea mapema kama kutakuwa na maendeleo mazuri.
“Kweli ni wiki mbili lakini daktari anachofanya ni kuangalia hali inavyokwenda. Kama nafuu itakuwa imepatikana haraka, basi anaweza kuanza kujifua taratibu.
“Unajua Simba wana bahati moja, wana daktari lakini hata meneja wao ni daktari. Hivyo kwa afya za wachezaji si jambo la hofu kwao,” kilieleza chanzo.
Kapombe amerejea Simba akitokea Azam FC aliyojiunga nayo akitokea AS Cannes ya Ufaransa. Hata hivyo, bado haijaichezea Simba kutokana na kuandamwa na maumivu hayo ya nyonga.
Sunday, 3 September 2017
Home
Unlabelled
Kapombe aongezewa muda wa matibabu
Kapombe aongezewa muda wa matibabu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
No comments:
Post a Comment