Aliyekuwa Mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, Hashimu Rungwe anashikiliwa na polisi kwa siku nne sasa.
Rungwe ambaye ni mwenyekiti wa chama cha Chauma anashikiliwa katika kituo kikuu cha cha polisi kanda maalumya Dar es salaam.
Mwanasiasa huyo anashikiliwa kwa kosa la kughushi nyaraka.
Kamanda wa polisi kwa kanda maalum ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa amedhibitisha hayo leo septemba 5 kuwa Rungwe anashikiliwa kwa siku nne .
Hata hivyo, Kamanda Mambosasa hakutaka kuingia kwa undani kuhusu suala hilo alisema ana taarifa za kutosha.
Tuesday 5 September 2017
Home
Unlabelled
Hashim Rungwe anashikiliwa na polisi.
Hashim Rungwe anashikiliwa na polisi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment