Shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM, limesema mhalifu wa usafirishaji haramu wa binadamu aliwatupa zaidi ya wahamiaji 120 ndani ya bahari siku ya Jumatano wakati walipokaribia fukwe za Yemen.
Wahamiaji 50 kutoka Somalia na Ethiopia walizamishwa baharini kwa makusudi wakati msafirishaji haramu wa binadamu alipowatupa baharini karibu na fukwe za Yemen.
Hayo yamesemwa na shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa na kuongeza kuwa ni hali ya kushangaza na kinyume cha utu.
Kwa mujibu wa taarifa ya shirika hilo wafanyakazi wake waligundua makaburi 29 ya wahamiaji katika ufukwe wa Shabwa. Maiti za wahamiaji hao zilizikwa na wenzao ambao walinusurika kufa.
Thursday, 10 August 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...

No comments:
Post a Comment