Rais wa (TLS), Tundu Lissu amefunguka na kusema wabobezi wa sheria nchini akiwepo Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo pamoja na Waziri wa Katiba Na Sheria Prof Palamagamba Kabudi wanamsikitisha kwa kuwa wanashindwa kuishauri vizuri serikali
Tundu Lissu alisema hayo jana wakati akiongea na waandishi wa habari na kudai kuwa wataalam na wabobezi wa sheria ndani ya serikali wamekuwa hawatekelezi wajibu wao vizuri kuishauri serikali vizuri kuhusiana na masuala ya sheria jambo ambalo linaleta athari katika nchi, ikiwepo kuzuiwa kwa ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400-Dash 8
"Bungeni kulijitokeza mjadala na nikazungumza lakini Dr Mwakyembe na Profesa Kabudi walinijibu kuwa sisi kama nchi huru hatuwezi kuogopa kushtakiwa katika mahakama ya Kimataifa kwa kuvunja mikatba na kuvunja wajibu wetu kwa Jumuiya ya Kimataifa kwa mujibu wa mikataba ya kimataifa tulioisaini na ambayo sisi ni wanachama. Nisema hapa kwa masikitiko makubwa kabisaa wanasheria waliobobea ambao wanatakiwa kumuelekeza
Mhe. Rais sawa sawa wamekuwa hawatekelezi wajibu wao kwa sababu pengine ya kuogopa kutumbuliwa au kwa sababu zingine ambazo zipo kinyume na taaluma zao kabisa moja wapo wa ushauri wa namna hii ni hizi kauli kwamba hatutakiwi kuogopa kushtakiwa katika mahakama za kimataifa ni ushauri ambao ukitoka kwa mwanasheria unasikitika kabisaa" alisema Tundu Lissu
Saturday, 19 August 2017
Home
Unlabelled
Tundu Lissu: wanaogopa kutumbuliwa
Tundu Lissu: wanaogopa kutumbuliwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment