Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Esther Bulaya amekamatwa na jeshi la polisi akiwa katika hotel ya kifa best point wilayani Tarime akidaiwa kujiandaa kutaka kufanya mkusanyiko kinyume na sheria.
Kamanda wa polisi Tarime/ Rorya kamishna msaidizi mwandamizi Henry Mwaibambo amesema wabunge Bulaya na John Heche hawatakiwi kujumuika kwenye mkutano wa mbunge wa jimbo la Tarime.
Saturday, 19 August 2017
Home
Unlabelled
Bulaya akamatwa na polisi Tarime
Bulaya akamatwa na polisi Tarime
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment