Waziri mkuu mstaafu wa serikali ya awamu ya tatu,Frederick Sumaye amesema kunyang'anywa mashamba yake si sababu ya yeye kufikiria kurudi CCM.
"Kunyang'anywa mashamba yangu najua ni uamuzi wa juu haunidhoofishi nifikirie kurudi CCM"
Sumaye amesema mashamba yaliyofutwa na serikali yalikuwa yanalipiwa kodi na yalikuwa yanamilikiwa kisheria.
"Wanataka nirudi CCM, Mimi sitaki kurudi CCM, kwanini wanalazimisha? Nilisema sababu ya kuondoka huko,waseme wazi sababu za kutafuta ni za kisiasa tu"' amesema Sumaye leo katika mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Tuesday 22 August 2017
Home
Unlabelled
Sumaye afunguka kuhusu mashamba yake
Sumaye afunguka kuhusu mashamba yake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment