Mbunge wa Bunda mjini, Esther Bulaya amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kufikishwa kwenye hospitali hiyo akitokea hospitali ya Bugando ,Mwanza.
Taarifa iliyotolewa leo na afisa husiano wa Muhimbili, John Stephen alielezea kuwa Bulaya alifikishwa hospitalini hapo Jana usiku, "Tulimpokea Jana usiku" alieleza kwa kifupi.
Mbunge wa kawe Halima Mdee amedhibitisha pia kulazwa mbunge huyo ( MNH)
"Amelazwa private, sewahaji wodi namba 18", alisema Halima Mdee.
Tuesday 22 August 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment