Bulaya alazwa Muhimbili - KULUNZI FIKRA

Tuesday 22 August 2017

Bulaya alazwa Muhimbili

Mbunge wa Bunda mjini, Esther Bulaya amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kufikishwa kwenye hospitali hiyo akitokea hospitali ya Bugando ,Mwanza.
Taarifa iliyotolewa leo na afisa husiano wa Muhimbili, John Stephen alielezea kuwa Bulaya alifikishwa hospitalini hapo Jana usiku, "Tulimpokea Jana usiku" alieleza kwa kifupi.
Mbunge wa kawe Halima Mdee amedhibitisha pia kulazwa mbunge huyo ( MNH)
"Amelazwa private, sewahaji wodi namba 18", alisema Halima Mdee.

No comments:

Post a Comment

Popular