Mbunge wa Bunda mjini, Esther Bulaya amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kufikishwa kwenye hospitali hiyo akitokea hospitali ya Bugando ,Mwanza.
Taarifa iliyotolewa leo na afisa husiano wa Muhimbili, John Stephen alielezea kuwa Bulaya alifikishwa hospitalini hapo Jana usiku, "Tulimpokea Jana usiku" alieleza kwa kifupi.
Mbunge wa kawe Halima Mdee amedhibitisha pia kulazwa mbunge huyo ( MNH)
"Amelazwa private, sewahaji wodi namba 18", alisema Halima Mdee.
Tuesday, 22 August 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment