Mkuu wa jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema kwamba uelewa wa watu katika kutambua namna jeshi hilo linavyofanya kazi zake ni mdogo kutokana na wanapo wakamata watu kwa tuhuma za makosa mbalimbali kama za kugushi nyaraka ama uchochezi wa jambo fulani huonekana kama wanawaonea hivyo ni vema wakaelewa kwamba wao kama jeshi wanafanya kazi kwa taratibu za kisheria na kisha kuchunguza makosa hayo na wakishabaini kwamba mtu hana kosa basi taratibu zingine zinafuata.
Akizungumza na ITV IGP Sirro amesema wakati watu wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali wanapo fikishwa ndani ya jeshi hilo, jeshi hupata taarifa za kiitelijensia za watu hao ambazo zinahitaji upelelezi zaidi hivyo inakuwa vigumu kumwachia mtu anayetuhumiwa kwa makosa fulani halafu likaibuka lingine wakati wakiwa wamemshikilia.
Tuesday 22 August 2017
Home
Unlabelled
IGP Simon Sirro: watu wanauelewa mdogo wa kujua jinsi jeshi la polisi linavyofanya kazi
IGP Simon Sirro: watu wanauelewa mdogo wa kujua jinsi jeshi la polisi linavyofanya kazi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment