Mbunge wa Chalinze mkoani Pwani,Ridhiwani Kikwete amekutana na familia ya marehemu Philemon Ndesamburo na kueleza namna mzee huyo alivyokuwa karibu naye.
Ridhiwani amesema kuwa aliwahi kuambiwa na mzee huyo kuwa anatamani kumuona anakuwa kijana mwenye mapenzi na vijana wenzake.
Ndesamburo aliwahi kuwa mbunge wa Moshi mjini kwa tiketi ya chadema na pia mwenyekiti wa chama hicho hadi alipofariki dunia miezi michache iliyopita.
Ridhiwani amesema hayo baada ya kwenda kuhani msiba nyumbani kwa marehemu mkoani Moshi.
Akizungumza na baadhi ya ndugu na jamaa wa marehemu Ndesamburo,Ridhiwani amesema alikutana Mara ya kwanza ana kwa ana na kuzungumza na mzee huyo miaka kadhaa iliyopita, alipokwenda Moshi kumuona babu yake aitwaye mzee Semindu na pia alikutana naye tena kipindi cha bunge la katiba.
"Namkumbuka sana aliwapenda sana wabunge vijana hata akiwaona wamekuwa kimya sana aliwauliza kuwa vipi mbona uko mpole leo?" amesema.
Wednesday, 16 August 2017
Home
Unlabelled
Ridhiwani amkumbuka Ndesamburo
Ridhiwani amkumbuka Ndesamburo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment