Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ( CCM), Rais John Maguful, ameagiza kufutwa kwa chaguzi katika kata 25 nchini kutokana na dosari zilizotokea ikiwa pamoja na kuingiliwa na makundi ya wagombea Urais wa mwaka 2015.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Jana jumapili,katibu wa Itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole alisema pamoja na sababu hiyo, baadhi ya viongozi wa kata wameshindwa kutoa Maelezo ya usimamizi wa mali za chama.
"Mwenyekiti wetu Rais Magufuli pamoja na katibu mkuu Abdulrahman Kinana walipokea malalamiko ya wanachama na kuyatafakari na kuchukua hatua hiyo," Alisema Polepole.
Sunday, 27 August 2017
Home
Unlabelled
Rais Magufuli afuta chaguzi katika kata 25.
Rais Magufuli afuta chaguzi katika kata 25.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment