Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ( CCM), Rais John Maguful, ameagiza kufutwa kwa chaguzi katika kata 25 nchini kutokana na dosari zilizotokea ikiwa pamoja na kuingiliwa na makundi ya wagombea Urais wa mwaka 2015.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Jana jumapili,katibu wa Itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole alisema pamoja na sababu hiyo, baadhi ya viongozi wa kata wameshindwa kutoa Maelezo ya usimamizi wa mali za chama.
"Mwenyekiti wetu Rais Magufuli pamoja na katibu mkuu Abdulrahman Kinana walipokea malalamiko ya wanachama na kuyatafakari na kuchukua hatua hiyo," Alisema Polepole.
Sunday, 27 August 2017
Home
Unlabelled
Rais Magufuli afuta chaguzi katika kata 25.
Rais Magufuli afuta chaguzi katika kata 25.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
No comments:
Post a Comment