Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ( CCM), Rais John Maguful, ameagiza kufutwa kwa chaguzi katika kata 25 nchini kutokana na dosari zilizotokea ikiwa pamoja na kuingiliwa na makundi ya wagombea Urais wa mwaka 2015.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Jana jumapili,katibu wa Itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole alisema pamoja na sababu hiyo, baadhi ya viongozi wa kata wameshindwa kutoa Maelezo ya usimamizi wa mali za chama.
"Mwenyekiti wetu Rais Magufuli pamoja na katibu mkuu Abdulrahman Kinana walipokea malalamiko ya wanachama na kuyatafakari na kuchukua hatua hiyo," Alisema Polepole.
Sunday 27 August 2017
Home
Unlabelled
Rais Magufuli afuta chaguzi katika kata 25.
Rais Magufuli afuta chaguzi katika kata 25.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
No comments:
Post a Comment