Mheshimiwa Yono Stanley Kevela ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Njombe CCM 2005- 2010 ameridhishwa na kasi ya Magufuli na anadai kuungana na mzee Mwinyi kutaka Magufuli walau atawale mihula minne.
Yono ndiye Mkurugenzi wa kampuni wa Yono Auction Mart iliyokabidhiwa jukumu la kudai kodi na kufanya Mufilisi kwa wadaiwa sugu wa serikali. Alitoa kauli hii asubuhi ya leo akihojiwa na TBC redio.
Ikumbukwe Dr Magufuli ameshakataa kuongeza mihula ya Urais. Yono pia amezungumzia mengi aliyoyakuta Italy ambapo alisema alipofika huko wazungu huwapokea watanzania kwa kuwaita Magufuli kutokana na Rais huyu kufahamika duniani kote kwa kasi yake.
Mheshimiwa Yono kwa sasa anafanya PhD UDSM licha ya kuendelea na biashara na kampuni yake.
Friday, 18 August 2017
Home
Unlabelled
Mkurugenzi wa Yono Auction mart nataka Magufuli aongezewe miaka 20 baada ya muda wake kikatiba kumalizika
Mkurugenzi wa Yono Auction mart nataka Magufuli aongezewe miaka 20 baada ya muda wake kikatiba kumalizika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
No comments:
Post a Comment