NDEGE iliyonunuliwa na Rais John Magufuli, nchini Canada, aina ya Bombardier Q400, imekamatwa nchini humo na iko hatarini kuuzwa kwa mnada.
Taarifa kutoka Montreal, Canada na wizara ya mambo ya nje jijini Dar es Salaam zinasema, kukamatwa kwa ndege hiyo, kunatokana na kampuni moja ya ujenzi ya nchi hiyo, kuidai serikali ya Tanzania kiasi cha dola za Marekani 38 milioni (zaidi ya TSh.90 bilioni).
Gazeti hili (Mwanahalisi) limeona nyaraka kadhaa kutoka kampuni ambayo inaidai Serikali na ambayo imekamata Ndege hiyo ili kufidia fedha zake.
Chanzo: Mwanahalisi
Friday, 18 August 2017
Home
Unlabelled
Bombardiea iliyonunuliwa Canada kupigwa mnada baada ya serikali kushindwa kulipa deni
Bombardiea iliyonunuliwa Canada kupigwa mnada baada ya serikali kushindwa kulipa deni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment