Mbunge Bunda Mjini Ester Bulaya amepata dhamana kwa mashariti ya wadhamini watu na Tsh mil 20, amepewa rufaa ya kwenda Muhimbili kwa ajili matibabu zaidi.
Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mara Joyce Sokombi (CHADEMA) amezungumzia hali ya Mbunge Mh. Ester Amos Bulaya, na kusema kwamba hali yake bado haijatengemaa kwani amepewa rufaa kwenda hospitali ya mkoa, hivyo amewataka watanzania kumuombea.
Akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio, Mh. Sokombi amesema presha ya Ester Bulaya ambaye ni Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini bado ipo chini, kiasi kwamba wameshindwa kumsafirisha kwenda hospitali kubwa, hivyo wanasubiri madaktari wamsaidie kurudisha hali ya presha yake, ndipo wamtoe hospitali.
Pia Mh. Sokombi amesema kwa sasa Bulaya ameshapatiwa dhamana akiwa hapo hospitalini, lakini hawajajua hatma ya kesi kwani mpaka sasa hawajapewa maelezo ya sababu iliyofanywa ashikiliwe na polisi.
Monday, 21 August 2017
Home
Unlabelled
Mbunge wa Bunda mjini, Esther Bulaya apata dhamana na pia apewa rufaa kwenda hospitali ya mkoa wa Mara,haki haijatengemaa
Mbunge wa Bunda mjini, Esther Bulaya apata dhamana na pia apewa rufaa kwenda hospitali ya mkoa wa Mara,haki haijatengemaa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...


No comments:
Post a Comment