Taarifa kutoka kwa mbunge wa viti maalum was mkoa wa Mara, Joyce Sokombi ameiambia kulunzifikra blog, kuwa hali ya Mbunge wa Bunda mjini Esther Bulaya ni mbaya sana na anashindwa kupumua.
Juhudi za kumuamishia hospitali ya rufaa ya Bugando zimegonga mwamba kutokana na madaktari katika hospitali ya wilaya ya Tarime kusema hawana mamlaka hadi mkuu wa wilaya atoe Kigali.
Aidha mbunge Joyce Sokombi ameiambia kulunzifikra blog juhudi za kumpata mkuu wa wilaya na kamanda wa polisi zimegonga mwamba kutokana na wawili hao siku zao hazipatikani.
Sunday, 20 August 2017
Home
Unlabelled
Hali ya Mbunge Esther Bulaya yazidi kuwa mbaya
Hali ya Mbunge Esther Bulaya yazidi kuwa mbaya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment