Watoto mapacha ambao walizaliwa mkoani Morogoro wakiwa wameungana maeneo ya tumboni wamefariki dunia ktk Hospitali ya Taifa Muhimbili walipokuwa wakisubiri matibabu na jaribio la kutenganishwa.
Habari za awali kuhusu watoto hao;
Watoto mapacha waliozaliwa wakiwa wameungana mkoani Morogoro imegundulika kuna uwezekano wa kuwatenganisha
Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa Upasuaji wa Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Zaituni Bokhary alipokuwa akitoa majibu ya vipimo vilivyochukuliwa hospitalini hapo kwa takribani wiki nzima.
Daktari huyo amesema kuwa baada ya kufanya vipimo, imegundulika kuna uwezekano wa kuwatenganisha watoto hao mapacha.
Majibu hayo yamekuja siku chache baada ya pacha hao kupimwa vipimo vya radiolojia ikiwemo CT Scan, MRI, X Ray kipimo cha moyo (ECO) pamoja na vipimo vyote vya damu.
Watoto hao waliozaliwa katika hospitali ya Misheni ya Berega iliyopo Kanda ya Mashariki mkoani Morogoro, Julai 21 mwaka huu wamenaza kuchukuliwa vipimo mbalimbali vya awali kabla ya upasuaji huo.
Wednesday, 16 August 2017
Home
Unlabelled
Mapacha walioungana wafariki muhimbili
Mapacha walioungana wafariki muhimbili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
No comments:
Post a Comment