Mahakama imeifuta kesi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha, Ole Sabaya. Alikuwa anatuhumiwa kujifanya Afisa wa Idara ya Usalama wa Taifa, (TISS.)
Kesi hiyo imefutwa baada ya Jamhuri kusema haina nia ya kuendelea nayo.
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha Ndugu, Lengai Ole Sabaya alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akikabiliwa na makosa mawili ya kughushi nyaraka za serikali (vitambulisho vya usalama wa taifa) na kuzitumia kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu (utapeli).
Wednesday, 30 August 2017
Home
Unlabelled
Mahakama imefuta kesi ya Aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha
Mahakama imefuta kesi ya Aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
No comments:
Post a Comment