Mahakama imeifuta kesi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha, Ole Sabaya. Alikuwa anatuhumiwa kujifanya Afisa wa Idara ya Usalama wa Taifa, (TISS.)
Kesi hiyo imefutwa baada ya Jamhuri kusema haina nia ya kuendelea nayo.
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha Ndugu, Lengai Ole Sabaya alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akikabiliwa na makosa mawili ya kughushi nyaraka za serikali (vitambulisho vya usalama wa taifa) na kuzitumia kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu (utapeli).
Wednesday 30 August 2017
Home
Unlabelled
Mahakama imefuta kesi ya Aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha
Mahakama imefuta kesi ya Aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment