Katibu Mkuu wa CCM ,Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA na Waziri Mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa kwenye mazishi ya aliyekuwa Bilionea wa jiji la Arusha,Marehemu Mrema.Pichani kulia ni Mama Regina Lowassa
Bilionea Mrema ndiye alikuwa mmiliki wa Impala, Ngurdoto Hotel na Naura Spring hotel

No comments:
Post a Comment