Diwani wa Kata ya Kiangasaga wilayani Tarime kwa tiketi ya CHADEMA mheshimiwa Kichinda almaarufu kama Mzee wa protocal amechiwa huru na mahakama baada ya mahakama kudai kuwa hana kosa lolote.
Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amethibitisha kuachiwa kwa diwani huyo ambaye awali alikuhumiwa kifungo cha miaka mitano jela katika mahakama ya wilaya ya Tarime kutokana na kesi ya kikatiba. Baada ya kukata rufaa mahakama ilibaini kuwa kiongozi huyo hakuwa na kosa lolote.
"Nikiwa na Mzee Kinchinda diwani wa CHADEMA kata ya Kiangasaga ambaye alihukumiwa na kufungwa miaka mitano jela, tukakata rufaa nashukuru mahakama kuu imemuachia huru na kusema hakuwa na kosa lolote na sasa ameruhusiwa kwenda kufanya kazi zake kuwakilisha wananchi waliomchagua. Hongera Mzee Kichinda" alisema John Heche
Monday 28 August 2017
Home
Unlabelled
Kiongozi wa chadema aliyehukumiwa miaka mitano jela, aachiwa huru
Kiongozi wa chadema aliyehukumiwa miaka mitano jela, aachiwa huru
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment