Diwani wa Kata ya Kiangasaga wilayani Tarime kwa tiketi ya CHADEMA mheshimiwa Kichinda almaarufu kama Mzee wa protocal amechiwa huru na mahakama baada ya mahakama kudai kuwa hana kosa lolote.
Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amethibitisha kuachiwa kwa diwani huyo ambaye awali alikuhumiwa kifungo cha miaka mitano jela katika mahakama ya wilaya ya Tarime kutokana na kesi ya kikatiba. Baada ya kukata rufaa mahakama ilibaini kuwa kiongozi huyo hakuwa na kosa lolote.
"Nikiwa na Mzee Kinchinda diwani wa CHADEMA kata ya Kiangasaga ambaye alihukumiwa na kufungwa miaka mitano jela, tukakata rufaa nashukuru mahakama kuu imemuachia huru na kusema hakuwa na kosa lolote na sasa ameruhusiwa kwenda kufanya kazi zake kuwakilisha wananchi waliomchagua. Hongera Mzee Kichinda" alisema John Heche
Monday, 28 August 2017
Home
Unlabelled
Kiongozi wa chadema aliyehukumiwa miaka mitano jela, aachiwa huru
Kiongozi wa chadema aliyehukumiwa miaka mitano jela, aachiwa huru
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
No comments:
Post a Comment