Mtoto wa miaka miwili amefariki dunia na watu wengine watano wamejeruhiwa baada ya gari aina ya Toyota Land Cruiser walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Kibuta wilayani Kisarawe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jonathan Shana, amesema ajali hiyo imetokea asubuhi ya leo Agosti 28.
Amemtaja mtoto aliyefariki katika ajali hiyo kuwa ni Muslimu Ibrahimu na miongoni mwa majeruhi ni dereva Omary Kamungu, ambaye ni ofisa maendeleo ya jamii mkoani Mbeya.
Dereva huyo anashikiliwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano.
Kamanda Shana amesema majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe ambako wamelazwa wakipatiwa matibabu.
Monday, 28 August 2017
Home
Unlabelled
Ajari kisarawe: Gari lapinduka baada ya kuacha njia na kuua baba na mwana
Ajari kisarawe: Gari lapinduka baada ya kuacha njia na kuua baba na mwana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
No comments:
Post a Comment