Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Mhe Anthony Mavunde amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro akisumbuliwa na homa kali.
Akizungumza na kulunzifikra blog, Mhe Mavunde amesema alipelekwa hospitalini hapo usiku wa kuamkia Leo Jumapili Machi 18, 2018 baada ya kujisikia vibaya.
Akizungumza na kulunzifikra blog, Mhe Mavunde amesema alipelekwa hospitalini hapo usiku wa kuamkia Leo Jumapili Machi 18, 2018 baada ya kujisikia vibaya.

No comments:
Post a Comment