Familia ya Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji cha Taifa NIT Akwilini Akwiline wamelazimika kuchangisha fedha ili kukodi magari zaidi baada ya idadi ya watu wanaotaka kusafiri kwenda Moshi mkoani Kilimanjaro kwa mazishi kuongezeka.
Akizungumza na mwandishi wa habari wa kulunzifikra blog Leo Frebuari 22, 2018, msemaji wa familia, Festo Kavishe amesema hali hiyo inatokana na magari mawili yaliyotolewa na serikali kujaa.
Akizungumza na mwandishi wa habari wa kulunzifikra blog Leo Frebuari 22, 2018, msemaji wa familia, Festo Kavishe amesema hali hiyo inatokana na magari mawili yaliyotolewa na serikali kujaa.
No comments:
Post a Comment