Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amefunguka na kusema kuwa serikali ya awamu ya tano inadhamira ya kuuwa vyama vya upinzani nchini kwa muswada wa sheria ambao umesambazwa kwenye vyama vya siasa.
Zitto Kabwe anasema muswada huo ambao umesambazwa tayari kwa vyama vya siasa ni kama hukumu ya kuviuwa vyama vya upinzania nchini kwani kuna vifungu ambavyo vinakataza vyama vya siasa kisheria kufanya mikutano ya hadhara isipokuwa mwaka wa uchaguzi tu, lakini pia watu wanaoruhusiwa kufanya mikutano hiyo ni wabunge na madiwani tu kwenye majimbo yao husika.
Kufuatia jambo hilo Zitto Kabwe amesema kuwa hawatakubali jambo hilo na watapinga sheria hiyo ndani ya Bunge pamoja na nje ya bunge na kusema wao watalinda mfumo wa vyama vingi nchini kwa gharama yoyote kwani uwepo wa vyama ni haki Kikatiba.
Friday, 13 October 2017
Home
Unlabelled
Zitto kabwe achachamaa na muswada kandamizi wa vyama vya siasa
Zitto kabwe achachamaa na muswada kandamizi wa vyama vya siasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...

No comments:
Post a Comment