Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko katika safu ya Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Wakuu wa Mikoa kwa kuteua, kupandisha vyeo na kuhamisha vituo vya kazi.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi Ikulu Jijini Dar es Salaam imeeleza kuwa Mhe. Rais Magufuli ameteua na amewapandisha vyeo Naibu Makatibu Wakuu 4 na kuwa Makatibu Wakuu wapya na ameteua Naibu Makatibu Wakuu wapya 7 na amewahamisha vituo vya kazi Makatibu Wakuu 4 na Naibu Katibu Mkuu 1.
Aidha katika nafasi ya manaibu wapya waliopata nafasi ni pamoja na Aliyekuwa Katibu wa Bunge la Tanzania Thomas Kashillilah ambaye nafasi yake ilichukuliwa na Ndg. Stephen kigaigai, sasa amekuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo.
Aliyekuwa Katibu wa bunge kabla ya kung'olewa na kupewa tena nafasi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Dkt homas Kashillilah
Orodha ya Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu ni kama ifuatavyo;
Ofisi ya Rais Ikulu.
Katibu Mkuu – Bw. Alphayo Kidata
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Katibu Mkuu (Utumishi) – Laurian Ndumbaro
Naibu Katibu Mkuu - Dorothy Mwaluko
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Katibu Mkuu - Mhandisi Mussa Iyombe
Naibu Katibu Mkuu(Afya) - Dkt. Zainabu Chaula
Naibu Katibu Mkuu(Elimu) - Bw. Tixon Nzunda
Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira.
Katibu Mkuu - Mhandisi Joseph Kizito Malongo
Naibu Katibu Mkuu - Bi. Butamo Kasuka Phillipo
Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.
Katibu Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) – Bw. Erick Shitindi
Katibu Mkuu(Bunge na Waziri Mkuu) - Maimuna Tarishi
Katibu Mkuu(Sera na Uratibu) - Prof. Faustine Kamuzora
Wizara ya Kilimo.
Katibu Mkuu - Mhandisi Methew Mtigumwe
Naibu Katibu Mkuu - Dkt. Thomas Didimu Kashililah
Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
Katibu Mkuu (Mifugo) - Dkt. Maria Mashingo
Katibu Mkuu (Uvuvi) - Dkt. Yohana Budeba
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Katibu Mkuu (Ujenzi) - Mhandisi Joseph Nyamuhanga
Katibu Mkuu (Uchukuzi) - Dkt. Leonard Chamriho
Katibu Mkuu (Mawasiliano) – Dkt. Maria Sassabo
Naibu Katibu Mkuu (Mawasiliano) – Mhandisi Anjelina Madete
Wizara ya Fedha na Mipango.
Katibu Mkuu - Doto James Mgosha
Naibu Katibu Mkuu (Utawala) - Bi. Susana Mkapa
Naibu Katibu Mkuu (Fedha za Nje) – Bi. Amina Shaaban
Naibu Katibu Mkuu (Sera) - Dkt. Khatibu Kazungu
Wizara ya Nishati.
Katibu Mkuu - Dkt. Hamis Mwinyimvua
Wizara ya Madini.
Katibu Mkuu - Prof. Simon S. Msanjila
Wizara ya Katiba na Sheria.
Katibu Mkuu - Prof. Sifuni Mchome
Naibu Katibu Mkuu - Amon Mpanju
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Katibu Mkuu - Prof. Adolf F. Mkenda
Naibu Katibu Mkuu - Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
Katibu Mkuu - Dkt. Florence Turuka
Naibu Katibu Mkuu - Bi. Immaculate Peter Ngwale
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Katibu Mkuu - Meja Jen. Projest A. Rwegasira
Naibu Katibu Mkuu - Balozi Hassan Simba Yahaya
Wizara ya Maliasili na Utalii.
Katibu Mkuu - Meja Jen. Gaudence S. Milanzi
Naibu Katibu Mkuu - Dkt. Aloyce K. Nzuki
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Katibu Mkuu - Dorothy Mwanyika
Naibu Katibu Mkuu - Dkt. Moses M. Kusiluka
Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.
Katibu Mkuu - Prof. Elisante Ole Gabriel
Naibu Katibu Mkuu (Viwanda) – Ludovick J. Nduhiye
Naibu Katibu Mkuu (Biashara na Uwekezaji) – Prof. Joseph Buchwaishaija
Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.
Katibu Mkuu - Dkt. Leonard Akwilapo
Naibu Katibu Mkuu - Prof. James Epiphan Mdoe
Naibu Katibu Mkuu - Dkt. Ave-Maria Semakafu
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.
Katibu Mkuu (Afya) - Dkt. Mpoki Ulisubisya
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto) - Bi. Sihaba Nkinga.
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Katibu Mkuu - Bi. Suzan Paul Mlawi
Naibu Katibu Mkuu - Nicholaus B. William
Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Katibu Mkuu - Prof. Kitila Mkumbo
Naibu Katibu Mkuu - Mhandisi Emmanuel Kalobelo
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi Ikulu Jijini Dar es Salaam imeeleza kuwa Mhe. Rais Magufuli ameteua na amewapandisha vyeo Naibu Makatibu Wakuu 4 na kuwa Makatibu Wakuu wapya na ameteua Naibu Makatibu Wakuu wapya 7 na amewahamisha vituo vya kazi Makatibu Wakuu 4 na Naibu Katibu Mkuu 1.
Aidha katika nafasi ya manaibu wapya waliopata nafasi ni pamoja na Aliyekuwa Katibu wa Bunge la Tanzania Thomas Kashillilah ambaye nafasi yake ilichukuliwa na Ndg. Stephen kigaigai, sasa amekuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo.
Aliyekuwa Katibu wa bunge kabla ya kung'olewa na kupewa tena nafasi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Dkt homas Kashillilah
Orodha ya Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu ni kama ifuatavyo;
Ofisi ya Rais Ikulu.
Katibu Mkuu – Bw. Alphayo Kidata
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Katibu Mkuu (Utumishi) – Laurian Ndumbaro
Naibu Katibu Mkuu - Dorothy Mwaluko
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Katibu Mkuu - Mhandisi Mussa Iyombe
Naibu Katibu Mkuu(Afya) - Dkt. Zainabu Chaula
Naibu Katibu Mkuu(Elimu) - Bw. Tixon Nzunda
Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira.
Katibu Mkuu - Mhandisi Joseph Kizito Malongo
Naibu Katibu Mkuu - Bi. Butamo Kasuka Phillipo
Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.
Katibu Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) – Bw. Erick Shitindi
Katibu Mkuu(Bunge na Waziri Mkuu) - Maimuna Tarishi
Katibu Mkuu(Sera na Uratibu) - Prof. Faustine Kamuzora
Wizara ya Kilimo.
Katibu Mkuu - Mhandisi Methew Mtigumwe
Naibu Katibu Mkuu - Dkt. Thomas Didimu Kashililah
Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
Katibu Mkuu (Mifugo) - Dkt. Maria Mashingo
Katibu Mkuu (Uvuvi) - Dkt. Yohana Budeba
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Katibu Mkuu (Ujenzi) - Mhandisi Joseph Nyamuhanga
Katibu Mkuu (Uchukuzi) - Dkt. Leonard Chamriho
Katibu Mkuu (Mawasiliano) – Dkt. Maria Sassabo
Naibu Katibu Mkuu (Mawasiliano) – Mhandisi Anjelina Madete
Wizara ya Fedha na Mipango.
Katibu Mkuu - Doto James Mgosha
Naibu Katibu Mkuu (Utawala) - Bi. Susana Mkapa
Naibu Katibu Mkuu (Fedha za Nje) – Bi. Amina Shaaban
Naibu Katibu Mkuu (Sera) - Dkt. Khatibu Kazungu
Wizara ya Nishati.
Katibu Mkuu - Dkt. Hamis Mwinyimvua
Wizara ya Madini.
Katibu Mkuu - Prof. Simon S. Msanjila
Wizara ya Katiba na Sheria.
Katibu Mkuu - Prof. Sifuni Mchome
Naibu Katibu Mkuu - Amon Mpanju
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Katibu Mkuu - Prof. Adolf F. Mkenda
Naibu Katibu Mkuu - Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
Katibu Mkuu - Dkt. Florence Turuka
Naibu Katibu Mkuu - Bi. Immaculate Peter Ngwale
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Katibu Mkuu - Meja Jen. Projest A. Rwegasira
Naibu Katibu Mkuu - Balozi Hassan Simba Yahaya
Wizara ya Maliasili na Utalii.
Katibu Mkuu - Meja Jen. Gaudence S. Milanzi
Naibu Katibu Mkuu - Dkt. Aloyce K. Nzuki
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Katibu Mkuu - Dorothy Mwanyika
Naibu Katibu Mkuu - Dkt. Moses M. Kusiluka
Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.
Katibu Mkuu - Prof. Elisante Ole Gabriel
Naibu Katibu Mkuu (Viwanda) – Ludovick J. Nduhiye
Naibu Katibu Mkuu (Biashara na Uwekezaji) – Prof. Joseph Buchwaishaija
Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.
Katibu Mkuu - Dkt. Leonard Akwilapo
Naibu Katibu Mkuu - Prof. James Epiphan Mdoe
Naibu Katibu Mkuu - Dkt. Ave-Maria Semakafu
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.
Katibu Mkuu (Afya) - Dkt. Mpoki Ulisubisya
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto) - Bi. Sihaba Nkinga.
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Katibu Mkuu - Bi. Suzan Paul Mlawi
Naibu Katibu Mkuu - Nicholaus B. William
Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Katibu Mkuu - Prof. Kitila Mkumbo
Naibu Katibu Mkuu - Mhandisi Emmanuel Kalobelo

No comments:
Post a Comment