Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Mhe. Lazaro Nyalandu amesema kuwa ameliona tabasamu la uso wa Mbunge wa Singida Mashariki Mhe Tundu Antiphas Lissu na kusema kwamba Hakika Mungu anaendelea kujibu maombi ya watanzania.
"Tuendelea KUMWOMBEA ndugu yetu Tundu Lissu. Nimeliona TABASAMU la uso wake leo (Jana), na Hakika MUNGU anaendelea kujibu MAOMBI ya Watanzania wote wanaomkumbuka katika SALA na DUA zao katika MAJIRA na saa hii ya kujaribiwa kwake.
Tusimame PAMOJA naye, kwa kuwa SHAUKU ya MOYO wake ni kuiona siku iliyo njema, aweze kuifurahia kila ASUBUHI kama apendavyo MUNGU". Ameandika Mbunge huyo kwenye akaunti yake ya Facebook.
Picha ;
Lazaro Nyalandu na Kaka mkubwa wa Tundu Lissu, Advocate Lissu, Nairobi Hospital mapema jana.
Sunday, 15 October 2017
Home
Unlabelled
Nyalandu: Tuendelee kummwombea Tundu Lissu, Nimeliona tabasamu la uso wake
Nyalandu: Tuendelee kummwombea Tundu Lissu, Nimeliona tabasamu la uso wake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...

No comments:
Post a Comment