Kwa kutumia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter Mheshimiwa Zitto Kabwe amesema haya juu ya Spika wa Bunge Mheshimiwa Ndugai
"Spika Ndugai anajua ninavyomheshimu. Kama imefikia haoni heshima ya Bunge inavyoporomoka namsikitikia. Nitakwenda Kamati ya Maadili"
"Spika Ndugai amekuwa Spika wa kwanza katika historia ya Nchi yetu kushuhudia Mbunge anapigwa risasi Mkutano wa Bunge ukiendelea"
"Wabunge wazoefu tulikuwa na matumaini makubwa na Spika Ndugai, tulimpigania dhidi ya njama za kumhujumu kutoka Ikulu. Anatuangusha"
Mheshimiwa Zitto, anaendelea kusema kuwa
"Spika Ndugai, angejua nguvu aliyonayo kukabili udikteta unaonyemelea nchi yetu asingehangaika na ukosoaji wenye staha tunaoufanya"
"Kwenye mazishi ya Spika wa Watu Mzee Sitta, Ndugai aliomba afike japo robo ya Sitta. Hajafika hata 10% ya Anna Makinda miaka 2 Sasa"
"Hatujawahi kuwa na Spika anayedhalilishwa Na Rais Kwamba aliuliza wajumbe gani awaweke Kamati za uchunguzi za Bunge"
Tuesday, 12 September 2017
Home
Unlabelled
Zitto kabwe atoa maneno mazito kwa spika Ndugai
Zitto kabwe atoa maneno mazito kwa spika Ndugai
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment