Kamati ya Uongozi na Tume ya Bunge ilikutana kwa dharura na kukubali kutoa nusu ya posho ya Wabunge ya leo kusaidia matibabu ya Lissu.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema Bungeni kuwa gari ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu lilishambuliwa kwa jumla ya risasi 28 hadi 32 lakini zilizompata na kumjeruhi Tundu Lissu ni tano tu.
Spika amesema kuwa, familia ya Lissu ndio walichagua ndugu yao kwenda kutibiwa Nairobi lakini Bunge lilikuwa limejiandaa kumpeleka Muhimbili.
Ndugai amesema kwa hesabu alizofanya kwenye kikao cha Wabunge waliopo leo, kiwango cha mchango wa wabunge kitakua Tshs Milioni Arobaini na tatu (Tsh 43,000,000/=) ambacho ni jumla ya nusu ya posho za wabunge waliohudhuria kikao cha leo.
Friday, 8 September 2017
Home
Unlabelled
Spika Ndugai: Lissu alishambuliwa kwa risasi 28-32 lakini zilimpata tano
Spika Ndugai: Lissu alishambuliwa kwa risasi 28-32 lakini zilimpata tano
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment