Dar es Salaam. Klabu ya Simba leo imetangaza majina ya wajumbe watano watakaosimamia mchakato wa uuzaji hisa za klabu hiyo.
Wanachama wa Simba katika mkutano wao mkuu uliofanyika mwezi uliopita walikubaliana kubadili mfumo wa uendeshaji wake.
Wajumbe hao watano wataongozwa na jaji mstaafu Thomas Mihayo, Wakili Damas Ndumbaro, Mbunge wa Ilala, Musa Azzan 'Zungu', Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo, Abdulrazack Badru pamoja na mtaalamu wa manunuzi, Yusuph Majid.
Afisa habari wa Simba, Haji Manara alisema kamati hiyo itakuwa huru na kazi yake itafanyika kwa kuzingatia weledi.
"Uuzwaji huo utafanyika kwa kuzingatia sheria za nchi. Tuna imani kubwa na timu hii tuliyoiunda kwa sababu ina watu wabobezi," alisema Manara.
Monday 4 September 2017
Home
Unlabelled
Simba yaunda kamati ya kuuza hisa zake
Simba yaunda kamati ya kuuza hisa zake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment