Kiwanda chote cha Multi Cable Limited kilichopo eneo la Kijereshi kata ya Igoma jijini Mwanza ,kimeteketea kwa moto leo.
Kiwanda hicho kimeanza kuwaka saa nane mchana huku chanzo kikibainika ni kutokana na hitilafu ya nguvu za umeme.
Kiwanda hicho cha Multi Cable Limited kinajihusisha na utengenezaji wa nyaya za umeme na bomba za kupitisha nyaya hizo.
Mmoja kati ya wafanyakazi wa kiwanda hicho, anasema wao walishtukia moshi ukiwa unatokea kwenye 'store' wakagundua kwamba ni nyaya zimegusana kwenye paa na kusababisha moto huo.
Tuesday, 26 September 2017
Home
Unlabelled
Mwanza :Kiwanda cha nyaya za umeme chateketea kwa moto
Mwanza :Kiwanda cha nyaya za umeme chateketea kwa moto
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...

No comments:
Post a Comment