Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema si aibu kwa nchi kupata msaada kutoka nje kuchunguza tukio la kushambuliwa kwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu.
Aidha, amesema anaunga mkono kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, kwamba vyombo vya ndani vinaweza kufanya hivyo na kuongeza kuwa ni muhimu wananchi waambiwe kinachoendelea.
"Nadhani ni vizuri wananchi wakaona matokeo yake kwa sababu hatujaambiwa hasa nini kinaendelea, si vibaya kupata msaada toka nje, hiki ndicho kinatokea duniani huko", amesema Maalim Seif wakati akihojiwa na Radio Deustche Welle (DW) ya Ujerumani leo.
Wednesday, 27 September 2017
Home
Unlabelled
Maalim Seif: Sio aibu kupata msaada kutoka nje kuchunguza shambulio la Tundu Lissu
Maalim Seif: Sio aibu kupata msaada kutoka nje kuchunguza shambulio la Tundu Lissu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...

No comments:
Post a Comment