Hiki ndicho kikosi cha simba kitakachoanza kwenye mechi ya Simba dhidi ya Mwadui FC hii leo kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.
Wachezaji watakao anza katika mchezo huo dhindi ya Mwadui FC ni:-
Aishi Manula,Ally Shomari, Mohammed Hussein, Juuko Murshid, Salum Mbonde, James Kotei, Nicholas Gyan, Mzamiru Yassin, John Bocco, Emmanuel Okwi na Shiza Kichuya.
Na wachezaji walioko sabu ni
Emmanuel Mseja, Method Mwanjale, Mwinyi Kazimoto, Laudint Mavugo, Said Hamid Ndemla , Jonas Mkude na Jamal Mwambeleko
Kwenye bechi la ufundi kikosi hicho cha Simba kinongozwa na kocha mkuu Joseph Omog na kocha msaidizi Jackson Mayanja.
Sunday, 17 September 2017
Home
Unlabelled
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Mwadui FC
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Mwadui FC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment