Klabu ya Simba leo inatarajiwa kutua mkoani Shinyanga kwaajili ya maandalizi ya mchezo wake wa ligi kuu ya soka Tanzania Bara dhidi ya Stand United wiki ijayo.
Simba imeanza safari mapema leo kutokea Mwanza ambako ilicheza mchezo wake wa raundi ya nne dhidi ya Mbao FC ambao ulimalizika kwa sare ya 2-2.
Kwa upande mwingine msemaji wa Simba Haji Manara amethibitisha kuwa winga wa timu hiyo Shiza Kichuya anaendelea vizuri na atapumzika kwa simu 2 kuanzia leo kisha atakuwa fiti kwaajili ya mchezo dhidi ya Stand United.
Kichuya aliumia kipindi cha kwanza kwenye mchezo dhidi ya Mbao FC ikiwa ni baada tu ya kufunga bao lake la kwanza msimu huu.
Saturday, 23 September 2017
Home
Unlabelled
Kikosi cha klabu ya Simba kutua Shinyanga
Kikosi cha klabu ya Simba kutua Shinyanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment