Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete amefunguka na kuonyesha kuchukizwa na taarifa za uzushi zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kumuhusu yeye akionekana kujibu moja ya kauli ya Rais John Pombe Magufuli jambo ambalo si la kweli.
Kikwete ametumia mtandao wake wa twitter kuonyesha masikitiko yake hayo kwa watu wanaofanya jambo hilo huku akionyesha kusikitishwa zaidi na mapokeo ya watu ambao wengi wao wameiamini hiyo kauli wakidhani huenda ni kweli imetoka kwake kitu ambacho si cha kweli.
"Nasikitishwa sana na uvumi huu unaosambazwa juu yangu. Inasikitisha sana. Inasikitisha zaidi kuwa wako watu timamu wanaoamini uzushi huu" alisema Jakaya Kikwete
Hii si mara ya kwanza kwa kiongozi huyu mstaafu kuzushiwa uzushi na watu kupitia katika mitandao ya kijamii.
Tuesday, 19 September 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment